Taarifa na ushauri wa kusafiri kuhusu COVID-19
Je, unajaribu kuamua wapi unataka kwenda? Chunguza matakwa ya hivi karibuni ya kusafiri.
Tarehe 11 Machi, 2020, Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza COVID-19 kuwa janga la ugonjwa. Matakwa ya kusafiri ya eneo husika na ya kimataifa, pamoja na miongozo ya afya, yanaendelea kubadilika haraka. Tunapendekeza uangalie vizuizi vya kuingia na kutoka nyumbani na mahali uendako kabla ya kuweka nafasi ya safari na kusafiri kwenye Airbnb
Tunatoa orodha ya nyenzo hapa chini kwa manufaa yako. Unaweza kupata nyenzo za ziada za ushauri wa kusafiri hapa.
Shirika la Afya Duniani (WHO)
Shirika la Utalii Duniani la Umoja wa Mataifa (UNWTO)
Muungano wa Ulaya (EU)
Australia
Austria
Ubelgiji
Kanada
China
Kroatia
Kupro
Jamhuri ya Cheki
Denmaki
Misri
Estonia
Ufini
Ufaransa
Georgia
Ujerumani
Ghana
Ugiriki
Hong Kong (SAR)
Hangaria
Iceland
India
Ayalandi
Israeli
Italia
Japani
Jordan
Kenya
Latvia
Lebanoni
Lithuania
Luxembourg
Malta
Morisi
Monako
Moroko
Uholanzi
New Zealand
Norwei
Polandi
Ureno
Romania
Urusi
Ushelisheli
Singapore
Slovakia
Slovenia
Afrika Kusini
Korea Kusini
Uhispania
Uswidi
Uswizi
Taiwan
Thailand
Uturuki
Ukraine
Falme za Kiarabu
Uingereza
Marekani
Vietnam